Tusipolenga kuwafikia vijana, tutapoteza kizazi cha sasa, tutakosa nguvu katika huduma, na tutashindwa kuendeleza Injili popote tulipo. Katika podcast hii tunazungumza na mtu ambaye ana moyo wa kuhudumia vijana na amefanya huduma ya vijana kwa mafanikio ya juu kwa siku nyingi. Sikiliza anapoeleza umuhimu wa huduma ya vijana na kutusihi kuwalenga vijana katika huduma zetu ndani na nje ya kanisa.
Podchaser is the ultimate destination for podcast data, search, and discovery. Learn More