Tumeisha ona kwamba tusipolenga vijana na kuwafikia na Injili tutapoteza nafasi ya kufikia kizazi kijacho na kushindwa kuona mafanikio kanisani. Vijana ni muhimu. Lakini vijana wana mahitaji ya pekee na kuna majaribio mengi sana yanayowavuta siku hizi. Kwa njia gani tunaweza kuwahudumia na kuwafikia kama viongozi kanisani? Katika podcast ya leo na ijayo tutapata mashauri kutoka kwa Mchungaji Abraham Stanslaus na tutaendelea kuhimizwa kuwalenga vijana katika huduma zetu.
Podchaser is the ultimate destination for podcast data, search, and discovery. Learn More