Mzee Vernon Smith yuko nasi katika podcast hii, akijibu maswali yangu juu ya Nidhamu za Kiroho katika maisha ya kiongozi. Katika podcast hii ya kwanza anatoa ushauri wake juu ya mambo ya lazima yaliyopaswa kuwemo katika maisha ya kiongozi wa kiroho ili adumu katika huduma na awe na ushuhuda mwema kama mtu wa Mungu.
Podchaser is the ultimate destination for podcast data, search, and discovery. Learn More