Kila kiongozi wa kiroho anapaswa kujiuliza swali: “Kwa nini ninamtumikia Bwana?” Amini, usiamini, kuna viongozi wengi ambao wamesahau wito wao na maana yake na wameanza kufanya huduma kwa ajili ya mapato. Katika podcast hii tutaangalia Neno la Mungu kwa viongozi kupitia waraka wa Paulo kwa Timotheo. Je, unatamani fedha ya aibu?
Podchaser is the ultimate destination for podcast data, search, and discovery. Learn More