Podchaser Logo
Home
Sehemu ya Thelathini na Tano

Sehemu ya Thelathini na Tano

Released Wednesday, 16th December 2020
Good episode? Give it some love!
Sehemu ya Thelathini na Tano

Sehemu ya Thelathini na Tano

Sehemu ya Thelathini na Tano

Sehemu ya Thelathini na Tano

Wednesday, 16th December 2020
Good episode? Give it some love!
Rate Episode

Mambo vipi rafiki?

Karibu kusikiliza sehemu ya thelathini na tano ya kipindi cha ONGEA.

ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afya ya Uzazi, Lishe bora, Stadi za Maisha , Usafi wa Hedhi na Mimba za utotoni.

Usipitwe na uhondo huu.

Ungana nasi katika mitandao ya kijamii

Instagram: https://www.instagram.com/ongearadioprogramme/

Twitter:https://twitter.com/ONGEA_Radio

Facebook: https://web.facebook.com/OngeaRadioProgramme/

TikTok: https://vm.tiktok.com/JjgBxXp/ 

WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/ICZUIJg4qxRFGCIqOZ8RSs

KUMBUKA: #PimaVVU #TumiaKinga #TimizaMalengoYako

Show More

Unlock more with Podchaser Pro

  • Audience Insights
  • Contact Information
  • Demographics
  • Charts
  • Sponsor History
  • and More!
Pro Features