Ndege mbili za ziada zitatumika kutoka New Caledonia, serikali ya Australia ikiendeleza juhudi zakuwaleta nyumbani raia ambao wame kwama huko. Safari hizo za ndege ambazo zimefadhiliwa na serikali, zitaondoka kutoka eneo hilo la ufaransa katika Pasifiki leo Mei 24, baada ya zaidi ya wiki nzima ya migomo ambayo imesababisha vifo vya watu sita.
Podchaser is the ultimate destination for podcast data, search, and discovery. Learn More