Podchaser Logo
Home
Marvin amenipatia uzoefu wake kuhusu  Developers’ Community nchini Kenya

Marvin amenipatia uzoefu wake kuhusu Developers’ Community nchini Kenya

Released Saturday, 29th May 2021
Good episode? Give it some love!
Marvin amenipatia uzoefu wake kuhusu  Developers’ Community nchini Kenya

Marvin amenipatia uzoefu wake kuhusu Developers’ Community nchini Kenya

Marvin amenipatia uzoefu wake kuhusu  Developers’ Community nchini Kenya

Marvin amenipatia uzoefu wake kuhusu Developers’ Community nchini Kenya

Saturday, 29th May 2021
Good episode? Give it some love!
Rate Episode

Asante sana kusikiliza Yesaya Software Podcast na leo ninazungumza na Marvin Collins kutoka nchini Kenya. Marvin ni Software Developer, sasa kuna mambo machache nilipenda kujadiliana na kubadilishana mawazo kuhusu Developers' Community nchini Kenya.

1. Namna startup za kenya zinafanya kazi

2. Ni vipi covid -19 imeathiri meetup za Developers

3. Kuna urahisi au ugumu kuanzisha tech startup nchini Kenya

Basi waambie wengine unaweza kusikiliza Yesaya Software Podcast kupitia Google au Apple Podcast vilevile kwenye Spotify au Amazon Music. Pia kuna Youtube channel ya Yesaya Software ambayo ninaweza video kuhusu programming na zipo tutorial kadhaa unazoweza ziangalia.

Show More

Unlock more with Podchaser Pro

  • Audience Insights
  • Contact Information
  • Demographics
  • Charts
  • Sponsor History
  • and More!
Pro Features