Baada ya mapokezi mazuri ya msimu wa kwanza uliokua na takribani Episodes 10 ambapo wahusika walikua...@MiriamMkanaka @mpambazi @abdulazackabdul @Mudimabiriani @princessfeona @mcnikawalamar @lusakowakwanza @georgeAmbangile @shamiraMshangama @fredKavishe. Tulichukua break ya week mbili na Tarehe 3/7/2020 tunarudi tena kwa Ajili ya msimu wa 2 Asante kwa Support yako kuanzia Episode ya kwanza msimu wa 1 mpaka sasa tunaelekea Msimu wa 2.
Podchaser is the ultimate destination for podcast data, search, and discovery. Learn More