Dunia imetetemeshwa na janga la CORONA COVID-19 na kuleta maafa na athari kubwa sana sehemu kubwa. Lakini kila tatizo huwa linakuja na elimu au funzo ndani yake na bila shaka katika janga hili la CORONA COVID-19 sisi tunalo jambo la kujifunza n
Watu wengi sana katika maisha ya leo wako mbio wakitafuta pesa bila kuangalia wanapita wapi au wanafanya nini, lengo lao la msingi likiwa ni lazima pesa ipatikane. Bahati mbaya sana katika mbio hizi mara nyingi afya husahaulika sana, kwa kuone
Watu wengi wanashindwa kujiamini leo hii katika maisha yao huenda tatizo hili lilianzia kwenye familia na aina ya malezi waliyopata. Kwa hiyo watu kama hawa hawana budi kufanya juhudi kubwa kuhakikisha wanarekebisha kosa lililofanywa mwanzo kat