Ni nini inayoweza kubadilisha maisha ya watu na kuleta athari katika jamii? Ni Neno la Mungu. Mgeni wetu, Mchungaji Ngunjiri, anatoa mashauri juu ya nguvu ya Neno kubadili maisha ya watu na tunasihiwa kupanda Neno la Mungu katika huduma zetu na kumwachia Bwana afanye kazi na kuleta matunda kupitia Roho wake na Neno lake.
Podchaser is the ultimate destination for podcast data, search, and discovery. Learn More